ERIC SHIGONGO ATHIBITISHA UTAJIRI WA BILIONAIRE DR. LUIS SHIKA


Kwa wafuatiliaji wa habari za mitandao kwa ukaribu zaidi basi jina la Dr. Luis Shika si geni masikioni mwako kwa umaarufu alioupata hivi punde katiaka Upigaji mnada nyumba za mfanyabiashara Lugumi.
Akijulikana kama ni tajiri tapeli na wengine wakihisi kama amepungukiwa akili lakini kulingana na maneno yake anayo yasema, uchunguzi umefanyika wa kina na kugundua kuwa ni kweli hiyo kampuni ipo na mmiliki wake ni mtu mweusi huko nchini Urusi.
>

No comments: