Hamisamobetto Awashangaza Watanzania Soma Alichoandika Kuhusiana na Hukumu ya Lulu
Hamna aliyedhania kwamba Hamisa angeguswa na hukumu ya Lulu Leo. Watu walijua kuwa Hamisa na Lulu hawapendani kwa kuwa kulikuwa na tetesi kwamba Lulu alimpokonya Hamisa Bwana yake Majay.... Chakushangaza Hamisa ameumia na kufunguka Haya......
from @hamisamobetto - Ni Mapito Tu aunty ake Fansy ππΎπ
....... kinachoniuma Zaidi Ni how much
Fantasy amekuzoea ππΎ.
.
We are both not ready for that change katika maisha yetu.
MUNGU akupe Nguvu Na kukusimamia love .ππΎ❤️
M/Mungu ampe Nguvu mama Yako katika kipindi hichi without forgetting Mdogo ako Iki ....sijui kama nitaweza kumuona bila kutokwa na machozi .π°
.
. ππΎ am not ready baby ππΎπ
No comments: