Mrisho Gambo Afunguka Lowassa Kutaka Kurudi CCM....Adai Amemtuma Amuombee Kwa Magufuli
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgLCU5C7qZGqinpH16hYjPPp2USyvhEvckpKfH4AtgY1BtcETKFRMe0JF66St7XfB95GyiGw3p4nMmgvEFD-WDEt_AY5-Ad8VlGoeJE7C77ctmxmMeWNCbKbvzrfwZSzE50XnuFOGv3rWg/s1600/lowassa_get.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo alisimama kwenye jukwaa la kumpigia kampeni Mgombea Udiwani kwenye siku ya mwisho ya kampeni November 25.
Akiwa kwenye Jukwaa hilo Gambo alisema ametumwa na Lowassa kwa Rais Magufuli akitaka kurudi CCM hivyo afikishe ujumbe kwani yeye Lowassa kwa muda mrefu ametamani kuongea na Rais Magufuli lakini hajakubaliwa
VIDEO:
>
Akiwa kwenye Jukwaa hilo Gambo alisema ametumwa na Lowassa kwa Rais Magufuli akitaka kurudi CCM hivyo afikishe ujumbe kwani yeye Lowassa kwa muda mrefu ametamani kuongea na Rais Magufuli lakini hajakubaliwa
VIDEO:
No comments: