VIDEO: Spika Ndugai aitaka Serikali kutoa maelezo kuhusu mikopo ya wanafunzi
Spika wa Bunge Job Ndugai ameitaka Serikali kutoa maelezo bungeni leo jumatano ya Novemba 8 baada ya kipindi cha maswali na majibu kuhusu suala la mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kutakiwa walipe pesa kwanza chuoni halafu ndo waruhusiwe kusaini fomu za kuingiziwa fedha zao
==>Msikilize hapo chini

No comments: