BREAKING : NGOMA MPYA YA DIAMOND LIYOKUWA ITOKE LEO MAPYA YAMETUFIKIA,MENEJA WAKE ATOA NENO

Ameandika haya Meneja wa Diamond Sallam Sk

“Tunaomba Msamaha Wimbo wa #Waka ulitakuwa kutoka siku ya leo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu kwahiyo hautaweza kutoka leo lakini muda sio mrefu tutawajuza!! Sorry for any inconvenience”

No comments: