BREAKING : NGOMA MPYA YA DIAMOND LIYOKUWA ITOKE LEO MAPYA YAMETUFIKIA,MENEJA WAKE ATOA NENO

Ameandika haya Meneja wa Diamond Sallam Sk
“Tunaomba Msamaha Wimbo wa #Waka ulitakuwa kutoka siku ya leo kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu kwahiyo hautaweza kutoka leo lakini muda sio mrefu tutawajuza!! Sorry for any inconvenience”
>

No comments: