DOGO JANJA ATHIBITISHA KUFULIA BAADA YA KIKI ZA NDOA NA UWOYA KUFUNIKWA NA DR. LUIS SHIKA…!!

Kama ni kiki basi Dogo Janja alizipata sana na zilimpandisha kwa staili flani mabayo ni parefu sana, Wasanii wengi wa bongo wameaminishwa kuwa mtu hapasui kufika mbali lazima atoe kiki flani ndipo atoboe, kitu ambacho ni cha ajabu na ni ufinyu wa kufikiri, sasa Dogo Janja amekiri kuwa umaarufu ameshuka kidogo kutokana na Kiki nyingine ya Dr Luis Shika Kufunika ile yake ya ndoa na Irene Uwoya >

No comments: