USAJILI MATATA : WASAJILI WACHEZAJI WATANO HATARI TAZAMA HAPA MPANGO MZIMA

Lipuli FC itaongeza sura mpya tano katika dirisha dogo la usajili linaloendelea ikiwa ni mkakati wa kuimarisha kikosi chake kinachoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.


Katika kundi hilo la wachezaji watano, idadi kubwa itakuwa ni wale wanaocheza nafasi ya ushambuliaji kwa lengo ambayo imeonyesha kuwa butu kulinganisha na nafasi nyingine ambazo zinaonekana kuimarika na kufanya vizuri.


Kocha wa Lipuli FC, Seleman Matola alisema kama una kumbukumbu vizuri, utakubaliana na mimi kwamba Lipuli haikufanya usajili mkubwa wakati wa dirisha kubwa na ilibidi tuharakishe ili tuanze maandalizi kwa ajili ya ligi kwa sababu muda ulikuwa umeshaenda.


Nadhani tunahitaji kupata wachezaji kama watano hivi wa maana hasa wanaocheza nafasi ya ushambuliaji kwani ndio inayoonekana kutofanya vizuri.


“Ukiangalia msimamo wa ligi utaona tumefunga mabao nane lakini tumefungwa idadi kama hiyo hivyo inatoa picha kwamba tunatakiwa tuimarishe kwenye ulinzi," alisema Matola.Kuona majina ya wasajili bonyeza <<HAPA>>
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
>

No comments: